Monday, 7 September 2015

BWANA MUNGU NAKUOMBA(nifinyange)

Bwana mungu nakuomba sasa, unifanya kuwa kama upendavyo.
Maana wewe ni muweza wa yote ,
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Nifinyange' nifinyange
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Niongo-ze....
Nibari-ki...
Unili-nde...

No comments:

Post a Comment